Alhamisi 21 Agosti 2025 - 15:57
Waziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran

Hawza/ “Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, katika safari yake mjini Qom Iran, alipata bahati ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s)

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, alipata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Masuma (a.s), iliyopo katika jiji la Qum nchini Iran.

“Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, ambaye alisafiri kuelekea Qom huku akiwa ameandamana na ujumbe maalumu, alipata bahati hiyo ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), na sambamba na kutoa heshima, alitumia muda fulani katika dua na munajaat.

Baadhi ya picha zinazo onesha ushuriki wake katika Haram hiyo tukufu

Waziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran

Baadhi ya picha zinazo onesha ushuriki wake katika Haram hiyo tukufu

Waziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha